Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 19:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “‘Usizunguke katikati ya watu wako ili kuchongea.+ Usisimame dhidi ya damu ya mwenzako.+ Mimi ni Yehova.

  • 2 Samweli 16:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Mfalme akasema: “Na mwana wa bwana wako yuko wapi?”+ Ndipo Siba akamwambia mfalme: “Tazama, anakaa Yerusalemu; kwa maana alisema, ‘Leo nyumba ya Israeli watanirudishia utawala wa kifalme wa baba yangu.’”+

  • Zaburi 101:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Yeyote anayemchongea mwenzake kwa siri,+

      Huyo ninamnyamazisha.+

      Yeyote mwenye macho yenye kiburi na mwenye moyo wa majivuno,+

      Huyo siwezi kumvumilia.+

  • Methali 6:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 shahidi wa uwongo anayesema uwongo,+ na yeyote anayetokeza magomvi kati ya ndugu.+

  • Methali 21:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kupata hazina kwa ulimi wa uwongo ni pumzi inayopeperushwa,+ kwa wale wanaotafuta kifo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki