Mambo ya Walawi 19:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “‘Usizunguke katikati ya watu wako ili kuchongea.+ Usisimame dhidi ya damu ya mwenzako.+ Mimi ni Yehova. 2 Samweli 16:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mfalme akasema: “Na mwana wa bwana wako yuko wapi?”+ Ndipo Siba akamwambia mfalme: “Tazama, anakaa Yerusalemu; kwa maana alisema, ‘Leo nyumba ya Israeli watanirudishia utawala wa kifalme wa baba yangu.’”+ Zaburi 101:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Yeyote anayemchongea mwenzake kwa siri,+Huyo ninamnyamazisha.+Yeyote mwenye macho yenye kiburi na mwenye moyo wa majivuno,+Huyo siwezi kumvumilia.+ Methali 6:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 shahidi wa uwongo anayesema uwongo,+ na yeyote anayetokeza magomvi kati ya ndugu.+ Methali 21:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kupata hazina kwa ulimi wa uwongo ni pumzi inayopeperushwa,+ kwa wale wanaotafuta kifo.+
16 “‘Usizunguke katikati ya watu wako ili kuchongea.+ Usisimame dhidi ya damu ya mwenzako.+ Mimi ni Yehova.
3 Mfalme akasema: “Na mwana wa bwana wako yuko wapi?”+ Ndipo Siba akamwambia mfalme: “Tazama, anakaa Yerusalemu; kwa maana alisema, ‘Leo nyumba ya Israeli watanirudishia utawala wa kifalme wa baba yangu.’”+
5 Yeyote anayemchongea mwenzake kwa siri,+Huyo ninamnyamazisha.+Yeyote mwenye macho yenye kiburi na mwenye moyo wa majivuno,+Huyo siwezi kumvumilia.+