Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 19:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “‘Usizunguke katikati ya watu wako ili kuchongea.+ Usisimame dhidi ya damu ya mwenzako.+ Mimi ni Yehova.

  • 2 Samweli 19:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Kwa hiyo akamchongea+ mtumishi wako kwa bwana wangu mfalme. Lakini bwana wangu mfalme ni kama malaika+ wa Mungu wa kweli, na basi ufanye yaliyo mema machoni pako.

  • Zaburi 15:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Yeye hakuchongea kwa ulimi wake.+

      Hakumfanyia mwenzake jambo lolote baya,+

      Wala hakumshutumu rafiki yake.+

  • Methali 6:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 shahidi wa uwongo anayesema uwongo,+ na yeyote anayetokeza magomvi kati ya ndugu.+

  • Methali 26:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Maneno ya mchongezi ni kama vitu vya kumezwa kwa pupa, vinavyoingia katika sehemu za ndani kabisa za tumbo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki