Mambo ya Walawi 19:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “‘Usizunguke katikati ya watu wako ili kuchongea.+ Usisimame dhidi ya damu ya mwenzako.+ Mimi ni Yehova. 2 Samweli 19:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Kwa hiyo akamchongea+ mtumishi wako kwa bwana wangu mfalme. Lakini bwana wangu mfalme ni kama malaika+ wa Mungu wa kweli, na basi ufanye yaliyo mema machoni pako. Zaburi 15:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Yeye hakuchongea kwa ulimi wake.+Hakumfanyia mwenzake jambo lolote baya,+Wala hakumshutumu rafiki yake.+ Methali 6:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 shahidi wa uwongo anayesema uwongo,+ na yeyote anayetokeza magomvi kati ya ndugu.+ Methali 26:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Maneno ya mchongezi ni kama vitu vya kumezwa kwa pupa, vinavyoingia katika sehemu za ndani kabisa za tumbo.+
16 “‘Usizunguke katikati ya watu wako ili kuchongea.+ Usisimame dhidi ya damu ya mwenzako.+ Mimi ni Yehova.
27 Kwa hiyo akamchongea+ mtumishi wako kwa bwana wangu mfalme. Lakini bwana wangu mfalme ni kama malaika+ wa Mungu wa kweli, na basi ufanye yaliyo mema machoni pako.
3 Yeye hakuchongea kwa ulimi wake.+Hakumfanyia mwenzake jambo lolote baya,+Wala hakumshutumu rafiki yake.+
22 Maneno ya mchongezi ni kama vitu vya kumezwa kwa pupa, vinavyoingia katika sehemu za ndani kabisa za tumbo.+