1 Samweli 29:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Akishi akamjibu hivi Daudi: “Kwa maoni yangu, umekuwa mwema kama malaika wa Mungu.+ Lakini wakuu wa Wafilisti wamesema, ‘Usimruhusu apande pamoja nasi kwenda vitani.’
9 Akishi akamjibu hivi Daudi: “Kwa maoni yangu, umekuwa mwema kama malaika wa Mungu.+ Lakini wakuu wa Wafilisti wamesema, ‘Usimruhusu apande pamoja nasi kwenda vitani.’