36 Akajibu, akasema: “Je, hiyo siyo sababu jina lake ni Yakobo, hivi kwamba anyakue mahali pangu mara mbili hizi?+ Haki yangu ya kuzaliwa tayari amechukua,+ na tazama wakati huu amechukua baraka yangu!”+ Kisha akaongeza: “Je, hukuniachia baraka yoyote?”