10 Nao wakaanza kumwomba Yehova msaada,+ wakisema, ‘Tumetenda dhambi,+ kwa maana tumemwacha Yehova ili tutumikie Mabaali+ na sanamu za Ashtorethi;+ basi sasa utukomboe+ kutoka mkono wa adui zetu, ili tukutumikie.’
2 “Waliwaita.+ Kwa kadiri hiyohiyo walienda mbali kutoka mbele yao.+ Wakaanza kutoa dhabihu kwa sanamu za Baali,+ nao wakaanza kufukiza moshi wa dhabihu kwa sanamu za kuchongwa.+