Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 31:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Sasa Yehova akamwambia Musa: “Tazama! Unalala pamoja na mababu zako;+ na hakika watu hawa watainuka+ na kufanya uasherati na miungu migeni ya nchi wanayoiendea,+ kati yao, nao hakika wataniacha+ na kuvunja agano langu ambalo nimefanya pamoja nao.+

  • Waamuzi 10:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Na wana wa Israeli wakaanza tena kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova,+ nao wakaanza kutumikia Mabaali+ na sanamu za Ashtorethi+ na miungu ya Siria+ na miungu ya Sidoni+ na miungu ya Moabu+ na miungu ya wana wa Amoni+ na miungu ya Wafilisti.+ Basi wakamwacha Yehova wala hawakumtumikia yeye.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki