Kutoka 32:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Basi siku iliyofuata wakaamka mapema, nao wakaanza kutoa matoleo ya kuteketezwa na kutoa dhabihu za ushirika. Baada ya hayo watu wakaketi ili wale na kunywa. Kisha wakasimama wapate kujifurahisha.+
6 Basi siku iliyofuata wakaamka mapema, nao wakaanza kutoa matoleo ya kuteketezwa na kutoa dhabihu za ushirika. Baada ya hayo watu wakaketi ili wale na kunywa. Kisha wakasimama wapate kujifurahisha.+