Matendo 7:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Kwa hiyo wakafanya ndama siku hizo+ wakailetea hiyo sanamu dhabihu na kuanza kujifurahisha katika kazi za mikono yao.+ 1 Wakorintho 10:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wala tusiwe waabudu-sanamu, kama baadhi yao walivyofanya;+ kama ilivyoandikwa: “Watu wakaketi ili wale na kunywa, nao wakasimama wapate kujifurahisha.”+
41 Kwa hiyo wakafanya ndama siku hizo+ wakailetea hiyo sanamu dhabihu na kuanza kujifurahisha katika kazi za mikono yao.+
7 Wala tusiwe waabudu-sanamu, kama baadhi yao walivyofanya;+ kama ilivyoandikwa: “Watu wakaketi ili wale na kunywa, nao wakasimama wapate kujifurahisha.”+