4 Kisha akaichukua dhahabu hiyo toka mikononi mwao, naye akaifanya+ kwa kifaa cha kuchongea na kuifanya kuwa sanamu ya kuyeyushwa ya ndama.+ Nao wakaanza kusema: “Huyu ndiye Mungu wako, Ee Israeli, aliyekuongoza kutoka nchi ya Misri.”+
16 Halafu nikaangalia, na tazama, ninyi mlikuwa mmemtendea dhambi Yehova Mungu wenu! Mlikuwa mmejifanyia wenyewe ndama wa kuyeyushwa.+ Mlikuwa mmegeuka kando upesi kutoka katika njia ambayo Yehova alikuwa amewaamuru ninyi.+