4 “Usijifanyie sanamu ya kuchongwa wala umbo lililo kama kitu chochote kilicho juu mbinguni wala kilicho chini duniani wala kilicho ndani ya maji chini ya dunia.+
18 Ndiyo, walipokuwa wamejitengenezea sanamu ya ndama+ ya kuyeyushwa na kuanza kusema, ‘Huyu ndiye Mungu wako aliyekuongoza kutoka Misri,’+ nao wakatenda matendo makubwa ya kukosa heshima,
23 na kuugeuza utukufu+ wa Mungu asiye na uharibifu kuwa kitu kama sanamu+ ya mwanadamu aliye na uharibifu na ya ndege na viumbe vyenye miguu minne na vitu vinavyotambaa.+