Kutoka 32:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Basi wakaamka mapema siku iliyofuata na kuanza kutoa dhabihu za kuteketezwa na dhabihu za ushirika. Baada ya hayo watu wakaketi ili wale na kunywa. Kisha wakasimama ili wajitumbuize.+ Kutoka Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 32:6 Mnara wa Mlinzi,3/1/1995, uku. 16
6 Basi wakaamka mapema siku iliyofuata na kuanza kutoa dhabihu za kuteketezwa na dhabihu za ushirika. Baada ya hayo watu wakaketi ili wale na kunywa. Kisha wakasimama ili wajitumbuize.+