3 Nanyi mtabomoa madhabahu+ zao na kuvunja-vunja nguzo zao takatifu,+ nanyi mtaiteketeza miti yao mitakatifu+ katika moto na kukata sanamu za kuchongwa+ za miungu yao, nanyi mtayaharibu majina yao kutoka mahali hapo.+
33 Na Ahabu akatengeneza mti mtakatifu;+ na Ahabu akafanya mengi zaidi ya kumtia uchungu+ Yehova Mungu wa Israeli, kuliko wafalme wote wa Israeli waliomtangulia.