Kutoka 34:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Lakini madhabahu zao mtazibomoa, nazo nguzo zao takatifu mtazivunja, nayo miti yao mitakatifu mtaikata.+ 2 Wafalme 10:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Kisha wakazitoa nje nguzo takatifu+ za nyumba ya Baali na kuteketeza+ kila moja kwa moto. 2 Wafalme 13:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 (Isipokuwa tu hawakuacha dhambi ya nyumba ya Yeroboamu, aliyosababisha Israeli watende dhambi.+ Alitembea katika hiyo;+ na hata mti mtakatifu+ ulisimama katika Samaria.)
13 Lakini madhabahu zao mtazibomoa, nazo nguzo zao takatifu mtazivunja, nayo miti yao mitakatifu mtaikata.+
6 (Isipokuwa tu hawakuacha dhambi ya nyumba ya Yeroboamu, aliyosababisha Israeli watende dhambi.+ Alitembea katika hiyo;+ na hata mti mtakatifu+ ulisimama katika Samaria.)