Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 34:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Lakini madhabahu zao mtazibomoa, nazo nguzo zao takatifu mtazivunja, nayo miti yao mitakatifu mtaikata.+

  • 2 Wafalme 10:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Kisha wakazitoa nje nguzo takatifu+ za nyumba ya Baali na kuteketeza+ kila moja kwa moto.

  • 2 Wafalme 13:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 (Isipokuwa tu hawakuacha dhambi ya nyumba ya Yeroboamu, aliyosababisha Israeli watende dhambi.+ Alitembea katika hiyo;+ na hata mti mtakatifu+ ulisimama katika Samaria.)

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki