26“‘Msijifanyie miungu isiyo na thamani,+ wala msijisimamishie sanamu ya kuchongwa+ au nguzo takatifu, wala msiweke jiwe kuwa sanamu katika+ nchi yenu ili kuliinamia;+ kwa maana mimi ni Yehova Mungu wenu.
23 Nao pia wakaendelea kujijengea mahali pa juu+ na nguzo takatifu+ na miti mitakatifu+ juu ya kila kilima kirefu+ na chini ya kila mti wenye majani mengi.+