2 Wafalme 13:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 (Hata hivyo, hawakuacha dhambi ya nyumba ya Yeroboamu aliyosababisha Waisraeli kutenda.+ Waliendelea kutenda* dhambi hiyo, na mti mtakatifu*+ ukaendelea kusimama huko Samaria.)
6 (Hata hivyo, hawakuacha dhambi ya nyumba ya Yeroboamu aliyosababisha Waisraeli kutenda.+ Waliendelea kutenda* dhambi hiyo, na mti mtakatifu*+ ukaendelea kusimama huko Samaria.)