Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 7:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “Kwa upande mwingine, hivi ndivyo mtakavyowafanyia: Madhabahu zao mtazibomoa,+ nazo nguzo zao takatifu mtazivunja,+ nayo miti yao mitakatifu+ mtaikata,+ na sanamu zao za kuchongwa mtaziteketeza kwa moto.+

  • 1 Wafalme 14:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na kwa kweli Yehova atawapiga Israeli, kama vile tu tete linavyoyumba-yumba majini;+ naye atawang’oa+ Israeli kutoka katika nchi hii nzuri+ aliyowapa mababu zao, naye atawatawanya+ ng’ambo ya ule Mto,+ kwa sababu walitengeneza miti yao mitakatifu,+ na hivyo kumtia uchungu+ Yehova.

  • 1 Wafalme 16:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Na Ahabu akatengeneza mti mtakatifu;+ na Ahabu akafanya mengi zaidi ya kumtia uchungu+ Yehova Mungu wa Israeli, kuliko wafalme wote wa Israeli waliomtangulia.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki