15 Yehova atawapiga Waisraeli kama tete linaloyumba-yumba ndani ya maji, naye atawang’oa Waisraeli kutoka katika nchi hii nzuri aliyowapa mababu zao+ na kuwatawanya ng’ambo ya Mto Efrati,+ kwa sababu walimkasirisha Yehova kwa kutengeneza miti mitakatifu.+