Kutoka 34:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Lakini madhabahu zao mtazibomoa, nazo nguzo zao takatifu mtazivunja, nayo miti yao mitakatifu mtaikata.+ Waamuzi 3:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Basi wana wa Israeli wakafanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova, wakamsahau Yehova Mungu wao,+ wakatumikia Mabaali+ na miti mitakatifu.+ 2 Mambo ya Nyakati 33:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa hiyo akajenga tena mahali pa juu+ ambapo Hezekia baba yake alikuwa amebomoa,+ akasimamisha madhabahu+ kwa Mabaali+ na kutengeneza miti mitakatifu,+ naye akaanza kuliinamia+ jeshi lote la mbinguni+ na kulitumikia.+
13 Lakini madhabahu zao mtazibomoa, nazo nguzo zao takatifu mtazivunja, nayo miti yao mitakatifu mtaikata.+
7 Basi wana wa Israeli wakafanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova, wakamsahau Yehova Mungu wao,+ wakatumikia Mabaali+ na miti mitakatifu.+
3 Kwa hiyo akajenga tena mahali pa juu+ ambapo Hezekia baba yake alikuwa amebomoa,+ akasimamisha madhabahu+ kwa Mabaali+ na kutengeneza miti mitakatifu,+ naye akaanza kuliinamia+ jeshi lote la mbinguni+ na kulitumikia.+