22 Nanyi mkiniambia, ‘Tumeweka tegemeo+ letu katika Yehova,+ Mungu wetu,’ je, yeye siye ambaye mahali pake pa juu+ na madhabahu zake Hezekia+ ameondoa, huku akiwaambia Yuda na Yerusalemu, ‘Mnapaswa kuinama mbele ya madhabahu hii katika Yerusalemu’?”’+