Waamuzi 2:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na wana wa Israeli wakaanza kufanya yaliyo mabaya machoni pa Yehova,+ wakatumikia Mabaali.+ 2 Mambo ya Nyakati 28:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Bali alitembea katika njia za wafalme wa Israeli,+ na hata akatengeneza sanamu za kuyeyushwa+ za Mabaali.+
2 Bali alitembea katika njia za wafalme wa Israeli,+ na hata akatengeneza sanamu za kuyeyushwa+ za Mabaali.+