Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 16:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “Usijipandie aina yoyote ya mti ili uwe mti mtakatifu karibu na madhabahu ya Yehova Mungu wako ambayo utajifanyia.+

  • 1 Wafalme 14:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Nao pia wakaendelea kujijengea mahali pa juu+ na nguzo takatifu+ na miti mitakatifu+ juu ya kila kilima kirefu+ na chini ya kila mti wenye majani mengi.+

  • Yeremia 17:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 wakati wana wao wanapokumbuka madhabahu zao na miti yao mitakatifu kando ya mti wenye majani mengi, juu ya vilima virefu,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki