Kumbukumbu la Torati 16:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 “Usijipandie aina yoyote ya mti ili uwe mti mtakatifu karibu na madhabahu ya Yehova Mungu wako ambayo utajifanyia.+ 1 Wafalme 14:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Nao pia wakaendelea kujijengea mahali pa juu+ na nguzo takatifu+ na miti mitakatifu+ juu ya kila kilima kirefu+ na chini ya kila mti wenye majani mengi.+ Yeremia 17:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 wakati wana wao wanapokumbuka madhabahu zao na miti yao mitakatifu kando ya mti wenye majani mengi, juu ya vilima virefu,+
21 “Usijipandie aina yoyote ya mti ili uwe mti mtakatifu karibu na madhabahu ya Yehova Mungu wako ambayo utajifanyia.+
23 Nao pia wakaendelea kujijengea mahali pa juu+ na nguzo takatifu+ na miti mitakatifu+ juu ya kila kilima kirefu+ na chini ya kila mti wenye majani mengi.+
2 wakati wana wao wanapokumbuka madhabahu zao na miti yao mitakatifu kando ya mti wenye majani mengi, juu ya vilima virefu,+