-
Ezekieli 6:13Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
13 Nanyi mtalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova,+ wakati ambapo waliouawa kati yao watakuwa katikati ya sanamu zao za mavi,+ kuzunguka pande zote za madhabahu zao,+ juu ya kila kilima kirefu,+ juu ya vilele vyote vya milima+ na chini ya kila mti wenye majani mengi+ na chini ya kila mti mkubwa wenye matawi mengi,+ mahali ambapo wametoa harufu yenye kutuliza kwa sanamu zao zote za mavi.+
-
-
Ezekieli 20:28Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
28 Nami nikawaleta katika nchi+ ambayo nilikuwa nimeuinua mkono wangu katika kiapo kwamba nitawapa wao.+ Walipoona kila kilima kilichoinuka+ na kila mti wenye matawi mengi, ndipo wakaanza kutoa dhabihu+ zao huko na kutolea huko matoleo yao yenye kuudhi, na kutolea huko harufu zao za kutuliza+ na kumimina huko matoleo yao ya kinywaji.+
-