15 usije ukafanya agano na wakaaji wa nchi hiyo, kwa maana hakika watafanya uasherati na miungu+ yao na kutolea miungu yao dhabihu,+ na mtu fulani hakika atakualika, nawe hakika utakula sehemu ya dhabihu yake.+
15 “‘Lakini ulianza kuutegemea urembo wako+ nawe ukawa kahaba kwa sababu ya jina lako+ na kumimina matendo yako ya ukahaba kwa kila mpita-njia;+ ukawa wake.