Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 11:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na Sulemani akaanza kufuata Ashtorethi,+ mungu wa kike wa Wasidoni na kufuata Milkomu,+ chukizo la Waamoni.

  • Zaburi 106:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Nao wakachangamana na hayo mataifa+

      Na kuanza kujifunza matendo yao.+

  • Isaya 1:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Lo! Jinsi mji mwaminifu+ umekuwa kahaba!+ Ulikuwa umejaa haki;+ uadilifu ulikuwa ukikaa ndani yake,+ lakini sasa ni wauaji.+

  • Isaya 57:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Nawe uliweka ukumbusho wako nyuma ya mlango na ya mwimo wa mlango.+ Kwa maana uliniacha, ukajifunua na kupanda juu; ulikipanua kitanda chako.+ Nawe ukafanya agano pamoja nao kwa ajili yako. Ulipenda kuwa nao kitandani.+ Ulikitazama kiungo cha uume.

  • Yeremia 2:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 “‘Kwa maana zamani nilivunja nira yako vipande-vipande;+ nilizikata pingu zako. Lakini ulisema: “Mimi sitatumikia,” kwa maana ulikuwa umelala huku umejinyoosha+ juu ya kila kilima kirefu na chini ya kila mti wenye majani mengi,+ ukifanya ukahaba.+

  • Hosea 1:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Mwanzo wa neno la Yehova kupitia Hosea, Yehova alimwambia Hosea: “Nenda,+ jichukulie mke wa uasherati na watoto wa uasherati, kwa maana kwa sababu ya uasherati hakika nchi imegeuka isimfuate Yehova.”+

  • Yakobo 4:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Enyi wazinzi,+ je, hamjui kwamba urafiki na ulimwengu ni uadui na Mungu?+ Kwa hiyo, yeyote anayetaka kuwa rafiki+ ya ulimwengu anajifanya kuwa adui ya Mungu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki