8 Nawe uliweka ukumbusho wako nyuma ya mlango na ya mwimo wa mlango.+ Kwa maana uliniacha, ukajifunua na kupanda juu; ulikipanua kitanda chako.+ Nawe ukafanya agano pamoja nao kwa ajili yako. Ulipenda kuwa nao kitandani.+ Ulikitazama kiungo cha uume.
20 “‘Kwa maana zamani nilivunja nira yako vipande-vipande;+ nilizikata pingu zako. Lakini ulisema: “Mimi sitatumikia,” kwa maana ulikuwa umelala huku umejinyoosha+ juu ya kila kilima kirefu na chini ya kila mti wenye majani mengi,+ ukifanya ukahaba.+
2 Mwanzo wa neno la Yehova kupitia Hosea, Yehova alimwambia Hosea: “Nenda,+ jichukulie mke wa uasherati na watoto wa uasherati, kwa maana kwa sababu ya uasherati hakika nchi imegeuka isimfuate Yehova.”+
4 Enyi wazinzi,+ je, hamjui kwamba urafiki na ulimwengu ni uadui na Mungu?+ Kwa hiyo, yeyote anayetaka kuwa rafiki+ ya ulimwengu anajifanya kuwa adui ya Mungu.+