3 ninyi ambao pia mmekula nyama ya watu wangu,+ na mmeichuna ngozi yao kutoka kwao, mkaivunja vipande-vipande mifupa yao, na kuiponda vipande-vipande kama kitu kilicho katika chungu chenye mdomo mpana na kama nyama ndani ya chungu cha kupikia.+
34 Yerusalemu, Yerusalemu, muuaji+ wa manabii na anayewapiga kwa mawe+ hao waliotumwa kwake—ni mara ngapi nilitaka kuwakusanya watoto wako pamoja kama vile ambavyo kuku hukusanya vifaranga chini ya mabawa yake,+ lakini ninyi hamkutaka!+
52 Ni yupi kati ya manabii ambaye mababu zenu hawakumtesa?+ Ndiyo, waliwaua+ wale waliotangaza kimbele kuhusu kuja kwa Aliye mwadilifu,+ ambaye ninyi sasa mmemsaliti na kumuua,+