Yeremia 2:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 ‘Kwa maana zamani niliivunja nira yako+Na kuzikata pingu zako. Lakini ulisema: “Mimi sitatumikia,” Kwa maana juu ya kila kilima kirefu na chini ya kila mti wenye majani mengi+Ulilala ukiwa umejinyoosha, ukifanya ukahaba.+
20 ‘Kwa maana zamani niliivunja nira yako+Na kuzikata pingu zako. Lakini ulisema: “Mimi sitatumikia,” Kwa maana juu ya kila kilima kirefu na chini ya kila mti wenye majani mengi+Ulilala ukiwa umejinyoosha, ukifanya ukahaba.+