Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 26:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Mimi ni Yehova Mungu wenu, niliyewatoa katika nchi ya Misri ili msiwe watumwa kwao,+ nami nikavunja nira zenu na kuwafanya mtembee mkiwa wima.+

  • Kumbukumbu la Torati 4:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Lakini ninyi ndio watu ambao Yehova alichukua apate kuwatoa nje ya tanuru ya chuma,+ toka nje ya Misri, ili muwe watu wa mali ya kibinafsi kwake+ kama ilivyo leo hii.

  • Isaya 9:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kwa maana nira ya mzigo wao+ na fimbo iliyo juu ya mabega yao, fimbo ya yule anayewalazimisha kwenda kazini+ umezivunja vipande-vipande kama katika siku ya Midiani.+

  • Nahumu 1:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na sasa nitaivunja nira yake itoke juu yako,+ na pingu zilizo juu yako nitazikata vipande viwili.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki