20 Lakini ninyi ndio watu ambao Yehova alichukua apate kuwatoa nje ya tanuru ya chuma,+ toka nje ya Misri, ili muwe watu wa mali ya kibinafsi kwake+ kama ilivyo leo hii.
4 Kwa maana nira ya mzigo wao+ na fimbo iliyo juu ya mabega yao, fimbo ya yule anayewalazimisha kwenda kazini+ umezivunja vipande-vipande kama katika siku ya Midiani.+