Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 28:48
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 48 Nawe utalazimika kuwatumikia adui+ zako ambao Yehova atawatuma juu yako kwa njaa+ na kiu na uchi na uhitaji wa kila kitu; naye hakika ataweka nira ya chuma katika shingo yako mpaka atakapokuwa amekuangamiza wewe.+

  • Isaya 10:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 “Na itatukia katika siku hiyo kwamba mzigo wake utaondoka juu ya bega lako,+ na nira yake itaondoka juu ya shingo yako,+ na nira hakika itavunjwa+ kwa sababu ya mafuta.”

  • Yeremia 30:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “Na itakuwa katika siku hiyo,” asema Yehova wa majeshi, “kwamba nitaivunja nira ya mtu kutoka shingoni mwako, na pingu zako nitazikata vipande viwili,+ na wageni hawatamtumia vibaya tena kama mtumishi.

  • Ezekieli 34:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Na mti wa shambani utatoa matunda+ yake, na nchi yenyewe itatoa mazao+ yake, nao kwa kweli watakuwa katika nchi yao kwa usalama.+ Nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova nitakapovunja nira+ zao na kuwakomboa kutoka katika mkono wa wale waliokuwa wakiwatumia kama watumwa.+

  • Nahumu 1:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na sasa nitaivunja nira yake itoke juu yako,+ na pingu zilizo juu yako nitazikata vipande viwili.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki