Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 12:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Lakini wao watakuwa watumishi wake,+ ili wajue tofauti kati ya utumishi+ wangu na utumishi kwa falme za nchi.”+

  • Yeremia 5:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Na itakuwa kwamba mtasema, ‘Kwa sababu gani Yehova Mungu wetu ametutendea mambo haya yote?’+ Nawe utawaambia, ‘Kama mlivyoniacha mimi, kwenda kumtumikia mungu wa kigeni katika nchi yenu, ndivyo mtakavyowatumikia wageni katika nchi ambayo si yenu.’”+

  • Yeremia 17:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Nawe unafungua, kwa kupenda kwako mwenyewe, kutoka katika fungu la urithi wako ambalo nilikuwa nimekupa.+ Mimi pia nitakufanya uwatumikie adui zako katika nchi ambayo hukuijua;+ kwa maana ninyi mmewashwa kama moto katika hasira yangu.+ Utaendelea kuwashwa mpaka wakati usio na kipimo.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki