48 Nawe utalazimika kuwatumikia adui+ zako ambao Yehova atawatuma juu yako kwa njaa+ na kiu na uchi na uhitaji wa kila kitu; naye hakika ataweka nira ya chuma katika shingo yako mpaka atakapokuwa amekuangamiza wewe.+
22 Nao watasema, ‘Ni kwa sababu walimwacha Yehova+ Mungu wa mababu zao, aliyekuwa amewatoa katika nchi ya Misri,+ nao wakashikamana na miungu mingine+ na kuiinamia na kuitumikia.+ Ndiyo sababu alileta juu yao msiba huu wote.’”+