Kutoka 12:51 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 51 Na ikawa siku hiyo hiyo kwamba Yehova akawatoa wana wa Israeli pamoja na majeshi+ yao kutoka katika nchi ya Misri. Kumbukumbu la Torati 29:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Ndipo watalazimika kusema, ‘Ni kwa sababu waliliacha agano+ la Yehova Mungu wa mababu zao, ambalo alifanya pamoja nao alipowatoa katika nchi ya Misri.+
51 Na ikawa siku hiyo hiyo kwamba Yehova akawatoa wana wa Israeli pamoja na majeshi+ yao kutoka katika nchi ya Misri.
25 Ndipo watalazimika kusema, ‘Ni kwa sababu waliliacha agano+ la Yehova Mungu wa mababu zao, ambalo alifanya pamoja nao alipowatoa katika nchi ya Misri.+