Kutoka 6:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Huyo ndiye Haruni na Musa ambao Yehova aliwaambia:+ “Watoeni wana wa Israeli kutoka katika nchi ya Misri kulingana na majeshi yao.”+ Kutoka 13:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Basi Mungu akawafanya watu wazunguke kupitia njia ya nyika ya Bahari Nyekundu.+ Hata hivyo wana wa Israeli walitoka nchini Misri wakiwa wamejipanga kivita.+
26 Huyo ndiye Haruni na Musa ambao Yehova aliwaambia:+ “Watoeni wana wa Israeli kutoka katika nchi ya Misri kulingana na majeshi yao.”+
18 Basi Mungu akawafanya watu wazunguke kupitia njia ya nyika ya Bahari Nyekundu.+ Hata hivyo wana wa Israeli walitoka nchini Misri wakiwa wamejipanga kivita.+