Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 29:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Ndipo watalazimika kusema, ‘Ni kwa sababu waliliacha agano+ la Yehova Mungu wa mababu zao, ambalo alifanya pamoja nao alipowatoa katika nchi ya Misri.+

  • 1 Wafalme 9:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Nao watasema, ‘Ni kwa sababu walimwacha Yehova Mungu wao, aliyekuwa amewatoa mababu zao katika nchi ya Misri,+ nao wakashikamana na miungu mingine+ na kuiinamia na kuitumikia. Ndiyo sababu Yehova alileta juu yao msiba huu wote.’”+

  • Yeremia 2:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 “Lakini unasema, ‘Nimebaki bila hatia. Hakika hasira yake imeondoka juu yangu.’+

      “Tazama, ninaingia katika ugomvi pamoja nawe kwa sababu unasema, ‘Sikutenda dhambi.’+

  • Yeremia 13:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Na utakaposema moyoni mwako,+ ‘Kwa nini mambo haya yamenipata?’+ kwa sababu ya wingi wa makosa yako marinda yako yameondolewa yasiwe kifuniko;+ visigino vyako vimetendewa kijeuri.

  • Yeremia 16:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Na itakuwa kwamba, utakapowaambia watu hawa maneno haya yote na kwa kweli wao wakuambie, ‘Kwa sababu gani Yehova amesema juu yetu msiba huu wote ulio mkubwa, nasi tuna kosa gani na dhambi gani ambayo tumemtendea Yehova Mungu wetu?’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki