Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 20:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 hivyo ndivyo mfalme wa Ashuru atakavyoliongoza kundi la mateka wa Misri+ na wahamishwa wa Ethiopia, wavulana na wanaume wazee, wakiwa uchi na miguu wazi, na matako yakiwa wazi, uchi wa Misri.+

  • Ezekieli 16:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 kwa hiyo, tazama, ninawakusanya pamoja wote wanaokupenda kwa tamaa ambao ulikuwa mwenye kupendeza kwao na wale wote uliowapenda pamoja na wale wote uliowachukia, nami nitawakusanya hao pamoja juu yako kutoka pande zote na kuwafunulia sehemu zako za siri, nao wataziona sehemu zako zote za siri.+

  • Hosea 2:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 ili nisimvue nguo awe uchi+ na kumtendea kama katika siku ya kuzaliwa kwake,+ na kwa kweli kumfanya kama nyika+ na kumfanya kama nchi isiyo na maji+ na kumuua kwa kiu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki