22 Na utakaposema moyoni mwako,+ ‘Kwa nini mambo haya yamenipata?’+ kwa sababu ya wingi wa makosa yako marinda yako yameondolewa yasiwe kifuniko;+ visigino vyako vimetendewa kijeuri.
11 Vuka, Ee mwanamke mkaaji wa Shafiri, katika uchi wenye aibu.+ Mwanamke mkaaji wa Saanani hajaondoka. Maombolezo ya Beth-ezeli yatawaondolea ninyi mahali pake pa kusimama.