Mika 1:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Vukeni mkiwa uchi na wenye aibu, enyi wakaaji* wa Shafiri. Wakaaji wa Saanani hawajatoka nje. Kutakuwa na kilio kikubwa kule Beth-ezeli, nacho hakitawasaidia.
11 Vukeni mkiwa uchi na wenye aibu, enyi wakaaji* wa Shafiri. Wakaaji wa Saanani hawajatoka nje. Kutakuwa na kilio kikubwa kule Beth-ezeli, nacho hakitawasaidia.