Waamuzi 15:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kisha akawa na kiu sana, na kuanza kumwita Yehova, akisema: “Wewe ndiye uliyetia wokovu huu mkubwa mkononi mwa mtumishi wako,+ na je, sasa nife kutokana na kiu, na je, nianguke mkononi mwa wasiotahiriwa?”+
18 Kisha akawa na kiu sana, na kuanza kumwita Yehova, akisema: “Wewe ndiye uliyetia wokovu huu mkubwa mkononi mwa mtumishi wako,+ na je, sasa nife kutokana na kiu, na je, nianguke mkononi mwa wasiotahiriwa?”+