Zaburi 3:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Usimame,+ Ee Yehova! Uniokoe,+ Ee Mungu wangu!+Kwa maana utawapiga adui zangu wote kwenye taya.+Utayavunja meno ya waovu.+ Zaburi 18:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Kwa maana ni nani aliye Mungu ila Yehova?+Na ni nani aliye mwamba ila Mungu wetu?+ Zaburi 44:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana hawakuimiliki nchi hiyo kwa upanga wao wenyewe,+Wala wokovu haukuletwa kwa mkono wao wenyewe.+Kwa maana ulikuwa ni mkono wako wa kuume,+ naam, mkono wako na nuru ya uso wako,Kwa sababu ulipendezwa nao.+
7 Usimame,+ Ee Yehova! Uniokoe,+ Ee Mungu wangu!+Kwa maana utawapiga adui zangu wote kwenye taya.+Utayavunja meno ya waovu.+
3 Kwa maana hawakuimiliki nchi hiyo kwa upanga wao wenyewe,+Wala wokovu haukuletwa kwa mkono wao wenyewe.+Kwa maana ulikuwa ni mkono wako wa kuume,+ naam, mkono wako na nuru ya uso wako,Kwa sababu ulipendezwa nao.+