Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 3:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Usimame,+ Ee Yehova! Uniokoe,+ Ee Mungu wangu!+

      Kwa maana utawapiga adui zangu wote kwenye taya.+

      Utayavunja meno ya waovu.+

  • Zaburi 18:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Kwa maana ni nani aliye Mungu ila Yehova?+

      Na ni nani aliye mwamba ila Mungu wetu?+

  • Zaburi 44:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Kwa maana hawakuimiliki nchi hiyo kwa upanga wao wenyewe,+

      Wala wokovu haukuletwa kwa mkono wao wenyewe.+

      Kwa maana ulikuwa ni mkono wako wa kuume,+ naam, mkono wako na nuru ya uso wako,

      Kwa sababu ulipendezwa nao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki