1 Samweli 2:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Hakuna aliye mtakatifu kama Yehova, kwa maana hakuna mwingine isipokuwa wewe;+Na hakuna mwamba ulio kama Mungu wetu.+ 2 Samweli 22:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Kwa maana ni nani aliye Mungu ila Yehova,+Na ni nani aliye mwamba ila Mungu wetu?+ Zaburi 86:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Hakuna yeyote aliye kama wewe katikati ya miungu, Ee Yehova,+Wala hakuna kazi zozote kama zako.+ Isaya 45:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mimi ni Yehova, na hakuna mwingine yeyote.+ Zaidi ya mimi hakuna Mungu.+ Nitakulinda kwa ukaribu, ingawa hukunijua mimi,
2 Hakuna aliye mtakatifu kama Yehova, kwa maana hakuna mwingine isipokuwa wewe;+Na hakuna mwamba ulio kama Mungu wetu.+
5 Mimi ni Yehova, na hakuna mwingine yeyote.+ Zaidi ya mimi hakuna Mungu.+ Nitakulinda kwa ukaribu, ingawa hukunijua mimi,