8 Msiwe na hofu, wala msishangazwe.+ Je, tangu wakati huo mimi sikuwafanya ninyi mmoja mmoja myasikie na kuyatangaza?+ Nanyi ni mashahidi wangu.+ Je, kuna Mungu zaidi ya mimi?+ Hapana, hakuna Mwamba.+ Sikumtambua yeyote.’”
27 Nanyi mtajua ya kuwa mimi nimo katikati ya Israeli,+ na kwamba mimi ni Yehova Mungu wenu wala hakuna mwingine.+ Na watu wangu hawataona aibu sikuzote.