Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 4:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Nawe unajua vema leo, nawe ukumbuke moyoni mwako kwamba Yehova ndiye Mungu wa kweli mbinguni juu na duniani chini.+ Hakuna mwingine.+

  • 1 Wafalme 18:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Watu wote walipoona jambo lile, wakaanguka kifudifudi+ mara moja, na kusema: “Yehova ndiye Mungu wa kweli! Yehova ndiye Mungu wa kweli!”

  • Yeremia 10:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Lakini kwa kweli Yehova ni Mungu.+ Yeye ndiye Mungu aliye hai+ na Mfalme mpaka wakati usio na kipimo.+ Kwa sababu ya ghadhabu yake dunia itatikisika,+ na hakuna mataifa yatakayostahimili shutuma yake.+

  • Ezekieli 36:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 ‘Nami hakika nitalitakasa jina langu kuu,+ ambalo lilikuwa likitiwa unajisi katikati ya mataifa, ambalo ninyi mlilitia unajisi katikati yao; nayo mataifa yatalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, ‘wakati nitakapotakaswa katikati yenu mbele ya macho yao.+

  • Ezekieli 39:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na jina langu takatifu nitalijulisha katikati ya watu wangu Israeli, wala sitaliacha tena jina langu litiwe unajisi;+ na mataifa watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova,+ Mtakatifu katika Israeli.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki