22 Nawe utasema, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Tazama, niko juu yako,+ Ee Sidoni, nami hakika nitatukuzwa katikati yako;+ nao watu watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova nitakapofanya matendo ya hukumu+ ndani yake nami kwa kweli nitakaswe ndani yake.+