Zaburi 46:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “Salimuni amri, na mjue ya kwamba mimi ni Mungu.+Nitatukuzwa kati ya mataifa,+Nitatukuzwa duniani.”+ Isaya 5:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na Yehova wa majeshi atakuwa juu kupitia hukumu,+ na Mungu wa kweli, aliye Mtakatifu,+ hakika atajitakasa kupitia uadilifu.+ Ezekieli 20:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Kwa sababu ya harufu ya kutuliza nitafurahishwa nanyi,+ nitakapowatoa kati ya vikundi vya watu nami hakika niwakusanye pamoja kutoka katika nchi ambazo mmetawanywa,+ nami nitatakaswa ndani yenu mbele ya macho ya mataifa.’+
10 “Salimuni amri, na mjue ya kwamba mimi ni Mungu.+Nitatukuzwa kati ya mataifa,+Nitatukuzwa duniani.”+
16 Na Yehova wa majeshi atakuwa juu kupitia hukumu,+ na Mungu wa kweli, aliye Mtakatifu,+ hakika atajitakasa kupitia uadilifu.+
41 Kwa sababu ya harufu ya kutuliza nitafurahishwa nanyi,+ nitakapowatoa kati ya vikundi vya watu nami hakika niwakusanye pamoja kutoka katika nchi ambazo mmetawanywa,+ nami nitatakaswa ndani yenu mbele ya macho ya mataifa.’+