Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 10:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Yehova ni Mfalme mpaka wakati usio na kipimo, naam, milele.+

      Mataifa yameangamia kutoka katika dunia yake.+

  • Danieli 4:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Jinsi zilivyo kuu ishara zake, na jinsi maajabu yake yalivyo yenye nguvu!+ Ufalme wake ni ufalme wa mpaka wakati usio na kipimo,+ na utawala wake ni wa kizazi baada ya kizazi.+

  • Habakuki 1:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Je, wewe si wa tangu zamani za kale, Ee Yehova?+ Ee Mungu wangu, Mtakatifu wangu, wewe hufi.+ Ee Yehova, umeliweka kwa ajili ya hukumu; na kwa ajili ya kukaripia+ umeliwekea msingi, Ee Mwamba.+

  • Ufunuo 15:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Nao wanaimba wimbo wa Musa+ mtumwa wa Mungu na wimbo wa Mwana-Kondoo,+ wakisema:

      “Matendo yako ni makuu na ya ajabu,+ Yehova Mungu, Mweza-Yote.+ Njia zako ni za uadilifu na za kweli,+ Mfalme wa umilele.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki