13 Naye akaanza kumwambia Abramu: “Ujue hakika kwamba uzao wako utakuwa mkaaji mgeni katika nchi isiyokuwa yao,+ nao watawatumikia watu wale, nao watawatesa kwa miaka mia nne.+
15 “Na itatukia kwamba ikiwa hutasikiliza sauti ya Yehova Mungu wako kwa kuwa mwangalifu kutenda amri yake yote na kanuni zake ninazokuamuru wewe leo, laana hizi zote zitakujia pia na kukufikia:+
5 mimi pia niliendelea kukuambia tangu wakati ule. Kabla halijaingia, mimi nilikufanya ulisikie,+ ili usiseme, ‘Sanamu yangu mwenyewe imeyafanya, na sanamu yangu ya kuchongwa na sanamu yangu ya kuyeyushwa zimeyaamuru.’+