Isaya 44:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Yehova, Mfalme wa Israeli+ na Mkombozi wake,+ Yehova wa majeshi, amesema hivi, ‘Mimi ndiye wa kwanza na mimi ndiye wa mwisho,+ na zaidi yangu hakuna Mungu.+ Isaya 45:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mimi ni Yehova, na hakuna mwingine yeyote.+ Zaidi ya mimi hakuna Mungu.+ Nitakulinda kwa ukaribu, ingawa hukunijua mimi, 1 Wakorintho 8:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Sasa kuhusu kula+ vyakula vinavyotolewa kwa sanamu, tunajua kwamba sanamu si kitu+ katika ulimwengu, na kwamba hakuna Mungu isipokuwa mmoja.+
6 “Yehova, Mfalme wa Israeli+ na Mkombozi wake,+ Yehova wa majeshi, amesema hivi, ‘Mimi ndiye wa kwanza na mimi ndiye wa mwisho,+ na zaidi yangu hakuna Mungu.+
5 Mimi ni Yehova, na hakuna mwingine yeyote.+ Zaidi ya mimi hakuna Mungu.+ Nitakulinda kwa ukaribu, ingawa hukunijua mimi,
4 Sasa kuhusu kula+ vyakula vinavyotolewa kwa sanamu, tunajua kwamba sanamu si kitu+ katika ulimwengu, na kwamba hakuna Mungu isipokuwa mmoja.+