Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Kwa maana mwamba wao si kama Mwamba wetu,+

      Hata ikiwa adui zetu ndio wangeamua.+

  • 1 Samweli 2:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Hakuna aliye mtakatifu kama Yehova, kwa maana hakuna mwingine isipokuwa wewe;+

      Na hakuna mwamba ulio kama Mungu wetu.+

  • Zaburi 18:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Kwa maana ni nani aliye Mungu ila Yehova?+

      Na ni nani aliye mwamba ila Mungu wetu?+

  • Zaburi 94:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Lakini Yehova atakuwa kilele changu salama,+

      Na Mungu wangu, mwamba wa kimbilio langu.+

  • Zaburi 95:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 95 Njooni tumpigie Yehova vigelegele kwa shangwe!+

      Na tumpigie Mwamba wetu wa wokovu vigelegele vya ushindi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki