Kumbukumbu la Torati 32:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Kwa maana mwamba wao si kama Mwamba wetu,+Hata ikiwa adui zetu ndio wangeamua.+ 1 Samweli 2:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Hakuna aliye mtakatifu kama Yehova, kwa maana hakuna mwingine isipokuwa wewe;+Na hakuna mwamba ulio kama Mungu wetu.+ Zaburi 18:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Kwa maana ni nani aliye Mungu ila Yehova?+Na ni nani aliye mwamba ila Mungu wetu?+ Zaburi 94:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Lakini Yehova atakuwa kilele changu salama,+Na Mungu wangu, mwamba wa kimbilio langu.+ Zaburi 95:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 95 Njooni tumpigie Yehova vigelegele kwa shangwe!+Na tumpigie Mwamba wetu wa wokovu vigelegele vya ushindi.+
2 Hakuna aliye mtakatifu kama Yehova, kwa maana hakuna mwingine isipokuwa wewe;+Na hakuna mwamba ulio kama Mungu wetu.+
95 Njooni tumpigie Yehova vigelegele kwa shangwe!+Na tumpigie Mwamba wetu wa wokovu vigelegele vya ushindi.+