Kumbukumbu la Torati 32:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Yeshuruni+ alipoanza kunenepa, ndipo akapiga teke.+Umepata mafuta, umekuwa mnene, umeshiba mno.+Basi akamwacha Mungu, aliyemfanya,+Na kumdharau Mwamba+ wa wokovu wake. 2 Samweli 22:47 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 47 Yehova anaishi;+ na abarikiwe Mwamba wangu;+Na Mungu wa mwamba wa wokovu wangu atukuzwe.+ Zaburi 98:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mpigieni Yehova kelele za ushindi, enyi nyote watu wa dunia.+Changamkeni na kupiga vigelegele kwa shangwe na kupiga muziki.+
15 Yeshuruni+ alipoanza kunenepa, ndipo akapiga teke.+Umepata mafuta, umekuwa mnene, umeshiba mno.+Basi akamwacha Mungu, aliyemfanya,+Na kumdharau Mwamba+ wa wokovu wake.
4 Mpigieni Yehova kelele za ushindi, enyi nyote watu wa dunia.+Changamkeni na kupiga vigelegele kwa shangwe na kupiga muziki.+