Zaburi 18:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Yehova anaishi,+ na abarikiwe Mwamba wangu,+Na Mungu wa wokovu wangu atukuzwe.+ Zaburi 89:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Yeye mwenyewe huniita, ‘Wewe ni Baba+ yangu,Mungu+ wangu na Mwamba wa wokovu wangu.’+