Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 4:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Ole wetu! Ni nani atakayetuokoa kutoka katika mkono wa huyu Mungu mtukufu? Huyu ndiye Mungu aliyepiga Misri kwa kila namna ya mauaji katika nyika.+

  • Ezra 1:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Yeyote aliye katikati yenu ninyi watu wake wote, Mungu wake na awe pamoja naye.+ Basi na apande na kwenda Yerusalemu, huko Yuda, na kuijenga upya nyumba ya Yehova Mungu wa Israeli—yeye ndiye Mungu wa kweli+—iliyokuwa Yerusalemu.+

  • Danieli 2:47
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 Mfalme akamwambia Danieli: “Kwa kweli Mungu wenu ni Mungu wa miungu+ na Bwana wa wafalme+ na Mfunuaji wa siri, kwa sababu uliweza kufunua siri hii.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki